IQNA

Baraza Kuu la UN lapitisha azimio kuhusu uwanachama wa Palestina

Baraza Kuu la UN lapitisha azimio kuhusu uwanachama wa Palestina

IQNA-Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa -UNGA limepitisha azimio la kuongezea taifa la Palestina haki ndani ya Baraza hilo, sawa na nchi nyingine 193 wanachama. Pamoja na hayo Palestina bado haitakuwa na haki ya kupiga kura ndani ya chombo hicho cha ngazi ya juu cha maamuzi cha Umoja wa Mataifa.
07:58 , 2024 May 11
Balozi wa Afrika Kusini: Zama za Israel kutekeleza mauaji ya kimbari bila kuwajibishwa zimekwisha

Balozi wa Afrika Kusini: Zama za Israel kutekeleza mauaji ya kimbari bila kuwajibishwa zimekwisha

IQNA - Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran amesema zile siku za utawala wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina bila kuadhibiwa zimefika ukingoni.
20:46 , 2024 May 10
Chuo Kikuu Brussels chasitisha ushirikiano na Israel kutokana na jinai za Gaza

Chuo Kikuu Brussels chasitisha ushirikiano na Israel kutokana na jinai za Gaza

IQNA - Chuo kikuu kimoja nchini Ubelgiji kimesema kitasitisha ushirikiano wake na taasisi mbili za Israel.
19:26 , 2024 May 10
Ayatullah Khamenei akutana na Msafara wa Qur’ani wa Hija wa Iran

Ayatullah Khamenei akutana na Msafara wa Qur’ani wa Hija wa Iran

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu hivu karibuni amekutana na wajumbe wa msafara wa Qur’ani wa Hija wa Iran, akawausia kuwahimiza Mahujaji kutafakari aya za Qur’ani Tukufu.
19:12 , 2024 May 10
Klipu | Qiraa ya Anwar katika mkutano wa wasimamizi wa Hija na Kiongozi Muadhamu

Klipu | Qiraa ya Anwar katika mkutano wa wasimamizi wa Hija na Kiongozi Muadhamu

Amir Hossein Anwari, qari wa Qur'ani katika Msafara wa Nur wa Hija ya 1445, alisoma aya za 197 hadi 199 za Surah Al-Baqarah na Surah Nasr wakati wa mkutano wa maafisa wasimamizi wa Hija nchini Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei mnamo Mei 6 jijini Tehran .
17:51 , 2024 May 09
Saudi Arabia kuwaadhibu wanaofika Hija bila kibali

Saudi Arabia kuwaadhibu wanaofika Hija bila kibali

IQNA - Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imetangaza kanuni kali zaidi za Hija mwaka huu, inayolenga wale wanaoshiriki ibada ya Hija bila kibali na pia wale wanaowasaidia kukiuka sheria
16:26 , 2024 May 09
MSF yaonya kuhusu hatua ambazo utawala wa Israel unachukua dhidi ya eneo la Rafah

MSF yaonya kuhusu hatua ambazo utawala wa Israel unachukua dhidi ya eneo la Rafah

Mkuu wa timu ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) ametahadharisha kuwa mazingira ya kuidhaminia Gaza maji safi, chakula na dawa za matibabu yamefika marhala hatari na kwamba hatua ya kukifunga kivuko cha Rafah kunaifanya hali ya wakazi wa ukanda huo kuwa mbaya zaidi.
16:00 , 2024 May 09
Meja Jenerali Salami:  Uistikbari unatakka kudhibiti utambulisho wa Kiislamu

Meja Jenerali Salami: Uistikbari unatakka kudhibiti utambulisho wa Kiislamu

IQNA-Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amesema kuwa, ubeberu unaamiliana na ulimwengu wa Kiislamu kwa sera na siasa moja na wala haujali mipaka na kusisitiza kuwa, iwapo adui atadhibiti eneo la Kiislamu basi atapanua hadi sehemu nyingine.
15:51 , 2024 May 09
‘Qari Karim Mansouri asema Qur'ani Tukufu huleta utulivu kwenye maisha

‘Qari Karim Mansouri asema Qur'ani Tukufu huleta utulivu kwenye maisha

IQNA – Qari mashuhuri wa Iran Karim Mansouri amepongeza amani ambayo Qur'ani Tukufu inaleta katika maisha ya wale wanaoongozwa nayo.
15:41 , 2024 May 09
Uislamu unasisitiza sana kuhusu umuhimu wa nidhamu

Uislamu unasisitiza sana kuhusu umuhimu wa nidhamu

IQNA – Imam Ali (AS) katika dakika za mwisho za uhai wake alisisitiza umuhimu wa nidhamu katika maisha, jambo ambalo linaonyesha kwamba malengo ya jumla ya jamii ya Kiislamu yanaweza kufikiwa tu kwa kuzingatia utaratibu na nidhamu.
21:44 , 2024 May 08
Mkutano wa viongozi wa dini Malaysia wajadili amani

Mkutano wa viongozi wa dini Malaysia wajadili amani

IQNA - Mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur uliandaa mkutano wa kimataifa wa viongozi wa kidini siku ya Jumanne.
21:15 , 2024 May 08
Ayatullah Khamenei: Kujibari na mushrikina ni hitajio la leo la Palestina

Ayatullah Khamenei: Kujibari na mushrikina ni hitajio la leo la Palestina

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, kwa kuzingatia Aya za Qur'ani Tukufu na kumbukumbu ya jina lililobarikiwa la Nabii Ibrahim (AS), ibada ya Hija ya mwaka huu inapaswa kuwa zaidi ya Hija ya kila mwaka, na inabidi iwe Hija na kutangazwa kujitenga au kujibari na adui wa Waislamu, Mzayuni mtenda uhalifu na wafuasi wake wa nchi za Marekani, Uingereza na Wamagharibi kwa ujumla.
17:58 , 2024 May 08
Harakati za wanafunzi Magharibi wanaotetea Palestina itaibua haki zaidi duniani

Harakati za wanafunzi Magharibi wanaotetea Palestina itaibua haki zaidi duniani

IQNA - Vuguvugu la wanafunzi lililoanza katika vyuo vikuu vya Marekani na kuenea katika mataifa mengine linaahidi mfumo wa dunia wenye haki na haki, mwanadiplomasia wa Tunisia alisema.
17:52 , 2024 May 08
Qari wa Nigeria anayesoma Qur'ani Tukufu kwa kwa Mtindo wa Sheikh Abdul Basit (+Video)

Qari wa Nigeria anayesoma Qur'ani Tukufu kwa kwa Mtindo wa Sheikh Abdul Basit (+Video)

IQNA - Usomaji wa hivi karibuni wa qari wa Tarteel wa Qur'ani kwa mtindo wa Sheikh Abdul Basit Abdul Samad umeibua sifa.
17:41 , 2024 May 08
Swalah huleta nidhamu katika maisha ya Muumini

Swalah huleta nidhamu katika maisha ya Muumini

IQNA - Msingi wa utaratibu katika maisha ya Muislamu ni kumwabudu Mwenyezi Mungu na ndiyo maana kuswali swala tano za kila siku humsaidia mja kupanga shughuli zake za kila siku.
23:28 , 2024 May 07
1