Kila mwaka taasisi hiyo hugawa vifurishi vya chakula ndani ya ukumbi wake lakini mwaka huu kutokana na kuibuka janga la COVID-19 shughuli hiyo inafanyika nje ya taasisi hiyo.
Mfuko wa Iftar ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umeweza kuchangisha dola laki moja kwa ajili ya kuwalisha wanaohitajia.