Katika wiki za hivi karibuni, shakhsia na makundi yenye chuki dhidi ya Uislamu katika nchi kadhaa za Ulaya mara kadhaa yametekeleza uchomaji moto wa Misahafu au nakala za Qur'ani Tukufu na majaribio kama hayo ya kukivunjia heshima Kitabu Kitukufu cha Waislamu.
Vitendo hivyo vya kufuru katika nchi za Uswidi, Denmark na Uholanzi vimeibua hasira na lawama kutoka kwa nchi za Kiislamu na dunia nzima.
Zifuatazo ni kauli za baadhi ya wasomaji Qur'ani mashuhuri wa ulimwengu wa Kiislamu kuhusu vitendo hivyo viovu.
4164243