iqna

IQNA

maonyesho ya qurani
TEHRAN (IQNA) - Sambamba na mwezi mtukufu wa Ramadhani, Jumba la Makumbusho ya Kitaifa la Iran yenye makao yake Tehran yanaandaa maonyesho ya Misahafu (nakala za Qur'ani) ya Kale.
Habari ID: 3476857    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mwandishi wa kaligrafia kutoka India Yusuf Husen Gori ameonyesha baadhi ya kazi zake kwenye Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran.
Habari ID: 3476856    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Hujjatul Islam Hamid Shahriari
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema Maonyesho ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ni mwitikio mzuri kwa chuki dhidi ya Iran (Iranophobia) na chuki dhidi ya madhehebu ya Shia Shiaphobia).
Habari ID: 3476855    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

TEHRAN (IQNA) – Mwandishi wa kaligrafia kutoka Sri Lanka alisema amefurahi sana kuweza kuhudhuria Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran.
Habari ID: 3476833    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/08

Waziri wa Utamaduni na Muongozo wa Kiislamu Iran
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu Iran ameyataja Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran kama fursa kwa nchi za Kiislamu kukusanyika pamoja na kunufaika na mafundisho ya Kiislamu na Qur'ani.
Habari ID: 3476809    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kitengo cha Kimataifa cha Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ktafunguliwa Jumatatu, Aprili 3, 2023.
Habari ID: 3476800    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/02

Maonyesho ya Qur'ani ya Tehran
TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamefunguliwa rasmi Jumamosi na Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi.
Habari ID: 3476799    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/02

Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran
TEHRAN (IQNA) - Mkuu Duru ya 30 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran amesema mawaziri wa wakfu na utamaduni wa nchi saba watatembelea tukio hilo la Qur'ani.
Habari ID: 3476703    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/14

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Ukumbi wa Sala (Musalla) wa Imam Khomeini (Mwenyezi Mungu Amrehemu) utakuwa mwenyeji wa toleo la 30 la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran, kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
Habari ID: 3476661    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/05

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mohammad Mehdi Aziz-Zadeh ameteuliwa kuwa mkuu wa sekretarieti ya kudumu ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran.
Habari ID: 3476505    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/02

Turathi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho ya Ustaarabu wa Kiislamu ya Sharjah nchini UAE yameongezwa muda hadi majira ya kiangazi.
Habari ID: 3476503    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/02

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq utakuwa mwenyeji wa awamu ya pili ya Maonyesho ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ndani ya wiki chache kuanzia sasa.
Habari ID: 3476364    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Kikao cha baraza la kutunga sera za Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tehran kilifanya mkutano mapema wiki hii, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3476356    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/04

Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Sekretarieti ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran imesema iko tayari kupokea mawazo na mapendekezo mapya kwa ajili ya kuandaa vyema tukio la kimataifa.
Habari ID: 3476231    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/11

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Utamaduni la Iran mjini Lahore, Pakistani, limeandaa maonyesho kadhaa katika Tamasha la hivi karibuni la Sanaa ya Kiislamu, ikiwa ni pamoja na nakala ya Qur’ani Tukufu iliyonasibishwa kwa Imam Ali (AS).
Habari ID: 3476145    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/25

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tarjuma za Qur’ani Tukufu katika lugha 76 ni miongoni mwa vitabu vilivyowasilishwa kwenye Maonyesho ya 41 ya Kimataifa ya Vitabu ya Sharjah.
Habari ID: 3476042    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06

Maoneyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Tarjuma za Qur’ani Tukufu katika lugha 76 ni miongoni mwa vitabu vilivyoonyeshwa katika maonyesho ya kimataifa ya vitabu yanayoendelea huko Riyadh, Saudi Arabia.
Habari ID: 3475915    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/11

Utamaduni wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Watanzania wamepokea kwa furaha maonyesho ya uchapishaji wa Qur’ani Tukufu na Hadithi yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam.
Habari ID: 3475620    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/14

TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Wizara ya Utamaduni ya Iran anasema malengo ya Maonyesho ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamefikiwa kwa usaidizi wa watu na mashirika.
Habari ID: 3475192    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/01

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya 29 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamefunguliwa Jumamosi jioni katika sherehe iliyohudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu serikalini.
Habari ID: 3475133    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/17