iqna

IQNA

uzayuni
TEHRAN (IQNA)- Wazayuni wameshindwa kubatilisha uamuzi wa mahakama ya Uingereza ambaye imekataa kumfungulia mashtaka mwanaharakati wa Palestina kufuatia matamshi aliyotoa dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds mjini London mwaka 2017.
Habari ID: 3471807    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/15

Msomi wa Uingereza afichua
IQNA: Uingereza inaiuzia Saudia kiasi kikubwa cha silaha katika kutekeleza mpango wa Wazayuni wa kuanzisha vita vikubwa dhidi ya nchi za Waislamu Mashariki ya Kati, amefichua msomi mmoja London.
Habari ID: 3470838    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/07

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ni ngome hai na ya mstari wa mbele ya kukabiliana na vita laini.
Habari ID: 3384712    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/12