iqna

IQNA

walemavu
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja katika mkoa wa Ha'il nchini Saudi Arabia ulikuwa mwenyeji wa hafla ya kufunga mashindano ya Qur'ani kwa watu wenye ulemavu.
Habari ID: 3475972    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/22

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya 25 ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu ya Mwanamfalme Sultan bin Salman maalumu watoto wenye ulemavu yamefanyika Saudi Arabia na washindi 34 kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473850    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/26

TEHRAN (IQNA)- Duru ya Tisa ya Mashindano ya Qur’ani kwa ajili ya walemavu imeanza Jumamosi mjini Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3473828    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/18

TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Mashindano ya Qur'ani ya watoto walemavu yamefanyika nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3471839    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/13

TEHRAN (IQNA)- Duru ya 7 ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani maalumu kwa walemavu yamepangwa kufanyika Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuanzia Mei 27-31.
Habari ID: 3471532    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/26

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei leo Jumapili mjini Tehran kabla ya kuanza Wiki ya Kijihami Kutakatifu hapa nchini amekutana na kufanya mazungumzo kwa karibu na walemavu wa vita na familia zao na kuwajulia hali.
Habari ID: 3365553    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/20