Katika klipu iliyopota hapa chini msomaji Qur'ani Tukufu mahiri wa Misri Ustadh Abdul Fattah al-Taruti aanasema aya za 15 na 16 za Sura Maryam zisemazo: " Na amani iwe juu yake siku ya kuzaliwa, na siku ya kufa, na siku ya kufufuliwa. Na mtaje Maryamu katika Kitabu, pale alipo jitenga na jamaa zake mahali upande wa mashariki."
4109465