<?xml version="1.0" encoding="utf-8"?>
<rss version="2.0">
   <channel>
      <title>iqna.ir</title>
      <link>https://iqna.ir</link>
      <description>Shirika la Habari la Qur'ani la Kimataifa
</description>
      <managingEditor>info@iqna.ir</managingEditor>
      <webMaster>info@iransamaneh.com</webMaster>
      <lastBuildDate>Mon, 24 Aug 2026 02:45:00 +0330</lastBuildDate>
      <generator>SepehrFeed V1.2</generator>
      <item>
         <title>Dar al-Ifta ya Misri yasisitiza uhalali wa maadhimisho ya Maulid ya Mtume Muhammad (SAW)</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482665/dar-al-ifta-ya-misri-yasisitiza-uhalali-wa-maadhimisho-ya-maulid-ya-mtume-muhammad-saw</link>
         <description>IQNA – Taasisi ya Dar al-Ifta (Idara ya Fatwa) ya nchini Misri imesisitiza kuwa sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW), maarufu kama Maulidi, ni utamaduni uliokita mizizi nchini humo.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>23 Aug 2026 15:56:20 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Maonesho ya Urithi wa Kiislamu yafunguliwa Russia wakati wa Maulid</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482664/maonesho-ya-urithi-wa-kiislamu-yafunguliwa-russia-wakati-wa-maulid</link>
         <description>IQNA – Maonesho yenye kichwa “Urithi wa Kiislamu wa Russia: Watu na Mila” yalifunguliwa katika hafla iliyofanyika Moscow jioni ya Jumamosi.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>23 Aug 2026 15:40:48 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Aliyevunjia heshima Qur’ani Tukufu nchini Marekani akamatwa Minneapolis</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482663/aliyevunjia-heshima-qurani-tukufu-nchini-marekani-akamatwa-minneapolis</link>
         <description>IQNA – Mwanaharakati wa mrengo mkali wa kulia nchini Marekani, ambaye amekuwa akifanya vitendo vya kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu mara kadhaa, amekamatwa jijini Minneapolis.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>23 Aug 2026 15:32:53 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Magaidi wateka waumini Msikitini Nmchini Nigeria</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482662/magaidi-wateka-waumini-msikitini-nmchini-nigeria</link>
         <description>IQNA – Watu kadhaa wametekwa nyara kutoka katika msikiti mmoja ulioko Jimbo la Niger, eneo la kaskazini-kati mwa Nigeria, na kundi la magaidi, kwa mujibu wa taarifa za wakazi na polisi.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>23 Aug 2026 15:28:40 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Programu za kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi zahitimishwa nchini Jordan</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482661/programu-za-kuhifadhi-qurani-kwa-wanafunzi-zahitimishwa-nchini-jordan</link>
         <description>IQNA – Programu za bure za kuhifadhi, kusoma, na kusahihisha usomaji wa Qur’ani (Tajweed) kwa wanafunzi wa shule nchini Jordan zimefikia tamati katika hafla maalum iliyofanyika siku ya Alhamisi.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>22 Aug 2026 17:17:19 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Washindi wa Mashindano ya Qur’ani ya Makka Watunukiwa</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482660/washindi-wa-mashindano-ya-qurani-ya-makka-watunukiwa</link>
         <description>IQNA – Washindi wa toleo la 46 la Mashindano ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma, na kufasiri Qur’ani Tukufu wametunukiwa katika hafla iliyofanyika ndani ya Msikiti Mtukufu (Masjid al-Haram) huko Makka.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>22 Aug 2026 17:15:22 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Hotuba za Swala ya Ijumaa nchini Singapore kufupishwa</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482659/hotuba-za-swala-ya-ijumaa-nchini-singapore-kufupishwa</link>
         <description>IQNA – Kutokana na changamoto za hali ya hewa nchini Singapore, vipindi vya hotuba za Swala ya Ijumaa vitafupishwa kwa muda kuanzia wiki hii.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>22 Aug 2026 17:13:00 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title> Hamas: Hatua za Utawala wa Kizayuni hazitafuta utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al-Aqsa</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482658/hamas-hatua-za-utawala-wa-kizayuni-hazitafuta-utambulisho-wa-kiislamu-wa-msikiti-wa-al-aqsa</link>
         <description>IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina,  Hamas, imesisitiza kuwa hatua mpya zinazochukuliwa na utawala wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa hazitafuta wala kubadili utambulisho wa Kiislamu wa eneo hilo takatifu lililoko Al-Quds (Jerusalem).</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>22 Aug 2026 17:10:16 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Aliyevunjia heshima Uislamu nchiniMalaysia afungwa jela nchini</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482657/aliyevunjia-heshima-uislamu-nchinimalaysia-afungwa-jela-nchini</link>
         <description>IQNA – Mahakama moja katika jimbo la Johor, Malaysia, imemhukumu mwanamume kifungo cha jela kwa kuidhalilisha na kuivunjia heshima dini ya Kiislamu</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>22 Aug 2026 17:07:43 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Rekodi  mpya ya Waislamu waliopata nyadhifa za uongozi nchini Marekani mwaka 2026</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482656/rekodi-mpya-ya-waislamu-waliopata-nyadhifa-za-uongozi-nchini-marekani-mwaka-2026</link>
         <description>IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetangaza kuwa Waislamu 255 wamechaguliwa kushika nyadhifa mbalimbali za umma katika majimbo 26 ya Marekani mwaka 2026, idadi kubwa zaidi kuwahi kurekodiwa. Viongozi hao wanahudumu katika karibu kila ngazi ya serikali, wakiwemo wajumbe wa Kongresi, maseneta na wawakilishi wa majimbo, majaji, meya, wajumbe wa mabaraza ya miji, bodi za shule na nafasi nyingine za mitaa.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>21 Aug 2026 15:22:07 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Qari wa Misri afaulu katika taaluma ya tiba na usomaji wa Qur’ani</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482655/qari-wa-misri-afaulu-katika-taaluma-ya-tiba-na-usomaji-wa-qurani</link>
         <description>IQNA – Salah al-Jamal ni daktari kutoka Misri ambaye amepata mafanikio makubwa katika nyanja za kuhifadhi na kusoma Qur’ani Tukufu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>21 Aug 2026 15:04:26 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Misikiti elfu kadhaa yajengwa na kukarabatiwa nchini Misri tangu 2014</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482654/misikiti-elfu-kadhaa-yajengwa-na-kukarabatiwa-nchini-misri-tangu-2014</link>
         <description>IQNA – Msemaji wa Wizara ya Wakfu nchini Misri ametangaza ujenzi au ukarabati wa misikiti takriban 15,000 nchini humo tangu mwaka 2014.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>21 Aug 2026 14:56:36 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Msichana wa Guatemala awa mshiriki mdogo azidi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482653/msichana-wa-guatemala-awa-mshiriki-mdogo-azidi-katika-mashindano-ya-kimataifa-ya-qurani-makkah</link>
         <description>IQNA – Razan Muhammad Mutawali, msichana wa miaka mitano kutoka Guatemala, ameshiriki katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudi Arabia.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>21 Aug 2026 14:49:26 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Rekodi yavunjwa  ya waliojisajili Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482652/rekodi-yavunjwa-ya-waliojisajili-tuzo-ya-kimataifa-ya-qurani-tukufu-ya-dubai</link>
         <description>IQNA – Jumla ya maombi 20,500 kutoka nchi 135 yamewasilishwa kwa ajili ya toleo la 29 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai (DIHQA).</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>20 Aug 2026 19:08:01 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Kiongozi wa Kikristo Nigeria ampongeza mwanazuoni wa Kiislamu kwa huduma ya miaka 50</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482651/kiongozi-wa-kikristo-nigeria-ampongeza-mwanazuoni-wa-kiislamu-kwa-huduma-ya-miaka-50</link>
         <description>IQNA – Kiongozi wa Kikristo katika Jimbo la Kaduna nchini Nigeria amemuenzo mwanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Usman Mohammed Mai-Mota (Gwalli), kwa kutambua mchango wake wa zaidi ya nusu karne katika kutoa elimu ya Kiislamu na kuwafundisha maelfu ya vijana, katika juhudi za kuimarisha kuishi kwa amani na mshikamano kati ya Wakristo na Waislamu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>20 Aug 2026 18:56:44 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Wairani waadhimisha Siku ya Arubaini tangu Mazishi ya Kiongozi Shahidi</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482650/wairani-waadhimisha-siku-ya-arubaini-tangu-mazishi-ya-kiongozi-shahidi</link>
         <description>IQNA – Hafla ya Khitma kwa ajili ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ilifanyika mjini Tehran Jumanne jioni, ikiwa ni siku ya arubaini tangu kuzikwa kwake.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Aug 2026 13:30:51 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Watu Kadhaa Wakamatwa Dearborn, Marekani kufuatia uchochezi wa aliyeivunjia heshima Qur’ani</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482649/watu-kadhaa-wakamatwa-dearborn-marekani-kufuatia-uchochezi-wa-aliyeivunjia-heshima-qurani</link>
         <description>IQNA – Polisi wamewakamata watu kadhaa katika mji wa Dearborn, jimbo la Michigan nchini Marekani, baada ya maandamano dhidi ya Uislamu kuwaleta pamoja mamia ya waandamanaji wa kupinga maandamano hayo na kusababisha kuimarishwa kwa ulinzi.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Aug 2026 13:18:56 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Misikiti ya kihistoria ya Kosovo  ni hazina ya kumbukumbu ya kitaifa</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482648/misikiti-ya-kihistoria-ya-kosovo-ni-hazina-ya-kumbukumbu-ya-kitaifa</link>
         <description>IQNA – Misikiti ya kihistoria nchini Kosovo inapaswa kutazamwa kama sehemu ya msingi ya urithi wa kiutamaduni na kihistoria wa taifa hilo, si kama maeneo ya ibada pekee, afisa mmoja wa Jumuiya ya Kiislamu amesema.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Aug 2026 13:07:44 +0330</pubDate>
      </item>
      <item>
         <title>Kozi ya mafunzo kwa waamuzi wa Mashindano ya Qur’ani Yafikia Tamati Nchini Iraq</title>
         <link>https://iqna.ir/sw/news/3482647/kozi-ya-mafunzo-kwa-waamuzi-wa-mashindano-ya-qurani-yafikia-tamati-nchini-iraq</link>
         <description>IQNA – Kozi maalum ya maandalizi ya waamuzi wa mashindano ya Qur’ani nchini Iraq imefikia tamati kwa hafla adhimu.</description>
         <author>info@iqna.ir</author>
         <pubDate>19 Aug 2026 12:55:42 +0330</pubDate>
      </item>
   </channel>
</rss>