IQNA

Vipindi vya televisheni Misri kulenga kutambua vipaji vya Qur’ani

IQNA – Kipindi cha televisheni kiitwacho “Dawlat al Telawah”, ambacho ndicho shindano kubwa zaidi cha vipaji vya usomaji na tartiil ya Qur’ani, kimepangwa...

Libya yaandaa Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule yameanza mjini Zliten, Libya, Jumanne, tarehe 11 Novemba.

Waziri Mkuu wa Iraq atembelea Haram ya Kadhimiya baada ya ushindi wa uchaguzi

IQNA – Waziri Mkuu wa Iraq, Muhammad Shia Al-Sudani, amesafiri hadi Kadhimiya, kaskazini mwa Baghdad, kutembelea makaburi matakatifu  baada ya kutangazwa...

Sala ya kuomba mvua taifa zima yaswaliwa Saudia

IQNA – Sala ya Istisqa (swala ya kuomba mvua) imeswaliwa leo Alhamisi, kufuatia sunnah ya Mtume Muhammad (SAW) ya kuomba rehema ya Mwenyezi Mungu kupitia...
Habari Maalumu
Mashindano ya Qur’ani kwa wenye ulemavu wa macho yafanyika Kuwait

Mashindano ya Qur’ani kwa wenye ulemavu wa macho yafanyika Kuwait

IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya Qur’ani kwa watu wenye ulemavu wa macho nchini Kuwait yamefanyika kwa juhudi za Taasis ya Mutamayizin kwa Huduma...
13 Nov 2025, 12:27
Bibi Fatima: Mwanga wa Subira na Imani Unaong’aa Hadi Leo – Profesa wa Marekani

Bibi Fatima: Mwanga wa Subira na Imani Unaong’aa Hadi Leo – Profesa wa Marekani

IQNA – Bibi Fatima (SA) ni mfano wa subira kuu na mwanga wake unaendelea kung’aa, asema Profesa wa dini kutoka Marekani.
12 Nov 2025, 17:54
Karne moja baadae, sauti ya Sheikh al‑Sha’sha’i bado yavutia wengi

Karne moja baadae, sauti ya Sheikh al‑Sha’sha’i bado yavutia wengi

IQNA – Kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Abdul Fattah al‑Sha’sha’i ni ukumbusho wa moja kati ya wasomaji Qur'ani mashuhuri zaidi wa Misri, ambaye unyenyekevu...
12 Nov 2025, 15:20
Mifano Ushirikiano Kwa Msingi wa Katika Qur’ani Tukufu
Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu/10

Mifano Ushirikiano Kwa Msingi wa Katika Qur’ani Tukufu

IQNA – Mifano ya ushirikiano unaojengwa juu ya msingi wa kheri na uchamungu, kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, haijabana tu katika kutoa mali na sadaka kwa...
11 Nov 2025, 18:40
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ajibu kwa Aya ya Qur’ani ripoti ya New York Times kuhusu majenerali wa Marekani

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ajibu kwa Aya ya Qur’ani ripoti ya New York Times kuhusu majenerali wa Marekani

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amejibu ripoti ya gazeti la New York Times kuhusu kufukuzwa kwa baadhi ya majenerali...
11 Nov 2025, 18:27
Mauritania: Mpango wa ‘Furqan’ wazinduliwa kwa ajili ya kuimarisha elimu ya Qur’ani kwa wanafunzi yatima

Mauritania: Mpango wa ‘Furqan’ wazinduliwa kwa ajili ya kuimarisha elimu ya Qur’ani kwa wanafunzi yatima

IQNA – Mpango mpya wa kielimu uitwao Furqan umeanzishwa mjini Nouakchott kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi yatima kuboresha uwezo wao wa kuhifadhi na kusoma...
11 Nov 2025, 18:22
Maqari 1,266 Kushiriki Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani ya Katara Nchini Qatar

Maqari 1,266 Kushiriki Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani ya Katara Nchini Qatar

IQNA – Taasisi ya Utamaduni ya Katara nchini Qatar imetangaza kuwa toleo la 9 la Tuzo ya Usomaji wa Qur’ani Tukufu ya Katara, litakalofanyika kwa kauli...
11 Nov 2025, 17:21
Taasis ya Kuhifadhi Qur’ani ya Al-Azhar Yafungua Matawi 70 Mapya Nchini Misri

Taasis ya Kuhifadhi Qur’ani ya Al-Azhar Yafungua Matawi 70 Mapya Nchini Misri

IQNA – Msikiti Mkuu wa Al-Azhar umetangaza uzinduzi wa matawi mapya 70 ya Taasisi ya Kuhifadhi Qur’ani ya Al-Azhar katika miji mbalimbali ya Misri.
11 Nov 2025, 17:16
Zaghloul El-Naggar, Gwiji wa Elimu ya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 92
Inna Lillah wa Inna Ilahyi Rajioun

Zaghloul El-Naggar, Gwiji wa Elimu ya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani, Afariki Dunia Akiwa na Miaka 92

IQNA – Mwanasayansi na msomi wa Kiislamu kutoka Misri, Dkt. Zaghloul Ragheb Mohammed El-Naggar, ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 92, kwa mujibu wa taarifa...
10 Nov 2025, 14:34
Maafisa Wahimiza Ushiriki wa Wadau Wote wa Qur’ani Katika Maonesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

Maafisa Wahimiza Ushiriki wa Wadau Wote wa Qur’ani Katika Maonesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

IQNA – Naibu wa Qur’ani na Etrat katika Wizara ya Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kuandaliwa kwa Maonesho ya 33 ya Kimataifa...
10 Nov 2025, 14:29
Idhaa ya Cairo Kuanza Kurusha Kisomo cha Qur’ani cha Wanafunzi wa Al-Azhar

Idhaa ya Cairo Kuanza Kurusha Kisomo cha Qur’ani cha Wanafunzi wa Al-Azhar

IQNA – Kisomo cha Qur’ani Tukufu kwa tarteel kilichorekodiwa na wanafunzi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kitaanza kurushwa hewani kupitia...
10 Nov 2025, 14:23
Saudi Arabia Yazindua Mkutano Mkubwa wa Huduma za Hija kwa Kauli Mbiu ‘Kutoka Makkah Hadi Ulimwenguni’

Saudi Arabia Yazindua Mkutano Mkubwa wa Huduma za Hija kwa Kauli Mbiu ‘Kutoka Makkah Hadi Ulimwenguni’

IQNA – Wizara ya Hija na Umrah ya Saudi Arabia siku ya Jumapili imezindua rasmi Mkutano na Maonesho ya 5 ya Hajj kwa mwaka 1447 Hijria, yanayoendelea...
10 Nov 2025, 14:17
Awamu  ya Awali ya Kusoma Qur’ani Tukufu Yaanza Rasmi Nchini Qatar

Awamu ya Awali ya Kusoma Qur’ani Tukufu Yaanza Rasmi Nchini Qatar

IQNA – Awamu ya kwanza ya mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani imeanza rasmi nchini Qatar, kwa mujibu wa taarifa ya Wizara...
10 Nov 2025, 14:14
Qur'an kwa Lugha ya Rohingya: Mradi wa Kuamsha Lugha ya Waliodhulumiwa

Qur'an kwa Lugha ya Rohingya: Mradi wa Kuamsha Lugha ya Waliodhulumiwa

IQNA – Mradi wa kutafsiri Qur'an kwa lugha ya Rohingya umeanzishwa katika mazingira ambapo Waislamu wa Rohingya wamekuwa wakilengwa na dhulma na kufukuzwa...
09 Nov 2025, 17:43
Washairi kutoka nchi 25 washiriki Tamasha la Kimataifa la “Mtume wa Rehema”

Washairi kutoka nchi 25 washiriki Tamasha la Kimataifa la “Mtume wa Rehema”

IQNA – Washairi kutoka nchi 25 wamewasilisha takriban mashairi 1,500 katika Tamasha la Kimataifa la Ushairi la “Mtume wa Rehema,” lilioandaliwa kwa heshima...
09 Nov 2025, 17:16
Shirikisho la Soka la Ireland Laitaka UEFA kuifukuza Israel katika mashindano ya soka Ulaya

Shirikisho la Soka la Ireland Laitaka UEFA kuifukuza Israel katika mashindano ya soka Ulaya

IQNA – Katika kura ya maamuzi yenye uzito, Shirikisho la Soka la Ireland (FAI) limeunga mkono azimio linaloitaka UEFA kuifukuza Israel kutoka kwenye mashindano...
09 Nov 2025, 17:11
Picha‎ - Filamu‎