IQNA - Mnamo Machi 25, 2024, Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini-mashariki mwa Iran, imekaribisha maelfu ya watu kwa ajili ya Futari katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
IQNA - Kipindi kiitwacho 'Shahr Ramadan' huandaliwa na Idara ya Qur'ani na Etrat ya Manispaa ya Tehran katika Bustani ya Laleh kila usiku wakati wa Ramadhani kusherehekea mwezi mtukufu.