IQNA

Waislamu Texas walengwa katika tukio la Chuki dhidi ya Uislamu

Waislamu Texas walengwa katika tukio la Chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Polisi wa McKinney, Texas, walifika wiki hii katika eneo la tukio la uhalifu lililotokea katika kituo cha elimu ya Kiislamu ambacho kikundi cha kutetea Waislamu kimekitaja kuwa ni unyanyasaji wa chuki dhidi ya Uislamu.
18:46 , 2025 Sep 20
Khatibu wa Al-Aqsa akamatwa baada ya hotuba kali dhidi ya Ukimya wa Waarabu na Waislamu

Khatibu wa Al-Aqsa akamatwa baada ya hotuba kali dhidi ya Ukimya wa Waarabu na Waislamu

IQNA – Polisi wa utawala wa Israel wamemkamata Sheikh Mohammad Sarandah, khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa, muda mfupi baada ya kutoa hotuba ya Ijumaa, kwa mujibu wa Waqfu wa Kiislamu wa al-Quds.
18:41 , 2025 Sep 20
‘Tuzingatie Yanayotuunganisha’: Mwanaharakati wa Malaysia Awasihi Waislamu

‘Tuzingatie Yanayotuunganisha’: Mwanaharakati wa Malaysia Awasihi Waislamu

IQNA – Mwanaharakati kutoka Malaysia amesema kuwa mataifa ya Kiislamu yanapaswa kuangazia mambo yanayowafungamanisha na kushikamana kukabiliana na changamoto za pamoja.
18:28 , 2025 Sep 20
Mufti Mkuu wa Misri: Qur’ani Tukufu Yaona Tofauti za Kitamaduni Kama Fursa ya Ushirikiano

Mufti Mkuu wa Misri: Qur’ani Tukufu Yaona Tofauti za Kitamaduni Kama Fursa ya Ushirikiano

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza kuwa Qur’ani Tukufu haioni tofauti kati ya mataifa na tamaduni kuwa chanzo cha mizozo, bali huzitambua kama fursa ya ushirikiano na maelewano.
18:24 , 2025 Sep 20
Shambulizi la Msikiti Sudan Laua Zaidi ya Raia 70

Shambulizi la Msikiti Sudan Laua Zaidi ya Raia 70

IQNA – Waasi wa RSF wametekeleza shambulizi la ndege isiyo na rubani dhidi ya msikiti mjini el-Fasher, Sudan, siku ya Ijumaa, na kuwaua zaidi ya raia 70, kwa mujibu wa Baraza la Uongozi la Sudan na waokoaji wa eneo hilo.
18:20 , 2025 Sep 20
Mabadiliko ya kidijitali katika Misikiti Miwili Mitakatifu ya Makka na Madina yaboresha huduma kwa waumini

Mabadiliko ya kidijitali katika Misikiti Miwili Mitakatifu ya Makka na Madina yaboresha huduma kwa waumini

IQNA – Mamlaka Kuu ya Masuala ya Misikiti Miwili Mitakatifu imetangaza mafanikio ya utekelezaji wa mazingira ya kidijitali katika Msikiti Mkuu wa Makka na Msikiti wa Mtume (SAW) mjini Madina.
17:51 , 2025 Sep 19
Hamas na Harakati ya Jihad ya Kiislamu walaani Veto ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha vita Gaza

Hamas na Harakati ya Jihad ya Kiislamu walaani Veto ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha vita Gaza

IQNA – Harakati za mapambano ya ukombozi wa Wapalestina, Hamas na Jihad ya Kiislamu, zimetoa matamko ya kulaani hatua ya Marekani kutumia kura ya turufu au veto kuzuia kupitishwa kwa rasimu ya azimio la kusitisha vita Gaza, wakisema kuwa hatua hiyo inachochea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
17:39 , 2025 Sep 19
Msomi wa Kiislamu: Mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW) ni njia ya Umoja wa Kiislamu

Msomi wa Kiislamu: Mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW) ni njia ya Umoja wa Kiislamu

IQNA – Sheikh Abdullah Daqaq, Mkurugenzi wa Chuo cha Kiislamu cha Bahrain kilichoko Qom, amesema kuwa Mtume Muhammad (SAW) ni rehema kwa wanadamu wote, na kwamba umoja wa kweli katika ulimwengu wa Kiislamu unategemea kushikamana na mafundisho yake.
17:29 , 2025 Sep 19
Watoto yatima wa Kipalestina katika kambi za Gaza wahifadhi Qur’ani Tukufu wakati wa mauaji ya kimbari

Watoto yatima wa Kipalestina katika kambi za Gaza wahifadhi Qur’ani Tukufu wakati wa mauaji ya kimbari

IQNA – Katikati ya vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelea na mashambulizi yasiyokoma ya Israel dhidi ya Gaza, watoto wa Kipalestina waliopoteza makazi wanapata faraja kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu ndani ya kambi za wakimbizi.
17:19 , 2025 Sep 19
Wahifadhi kutoka nchi 29 washiriki fainali ya Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu Afrika Kusini

Wahifadhi kutoka nchi 29 washiriki fainali ya Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu Afrika Kusini

IQNA – Hatua ya mwisho ya mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu imeanza Alhamisi katika mji mkuu wa Afrika Kusini, ikiwakutanisha washiriki kutoka nchi 29.
17:11 , 2025 Sep 19
Hizbullah yatangaza mpango wa Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mashahidi Nasrallah na Safieddine

Hizbullah yatangaza mpango wa Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mashahidi Nasrallah na Safieddine

IQNA – Harakati ya Muqawama au Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imetangaza ratiba ya shughuli za kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa viongozi wake mashuhuri, Sayyid Hassan Nasrallah na Sayyid Hashem Safieddine.
21:33 , 2025 Sep 17
Mwanasiasa wa Iraq: Sira ya Mtume(SAW) Ni Ramani ya Umoja

Mwanasiasa wa Iraq: Sira ya Mtume(SAW) Ni Ramani ya Umoja

IQNA – Sheikh Maan bin Ali al-Jarba, Mwenyekiti wa Umoja wa Makabila ya Waarabu wa Iraq, amesema kuwa Sira ya Mtume Muhammad (SAW) inatoa mafunzo muhimu kuhusu umoja na uongozi unaoheshimu haki za raia wote.
21:21 , 2025 Sep 17
Usajili wazi kwa Tuzo ya 28 ya Qur’ani na Sunna Sharjah, UAE

Usajili wazi kwa Tuzo ya 28 ya Qur’ani na Sunna Sharjah, UAE

IQNA – Maandalizi ya toleo la 28 la Tuzo ya Qur’ani na Sunna ya Sharjah (1447H / 2025) yameanza rasmi katika mji wa Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
21:09 , 2025 Sep 17
Utafiti wabaini Waislamu wawili kati ya watatu Ufaransa wameripoti kukumbwa na ubaguzi wa rangi

Utafiti wabaini Waislamu wawili kati ya watatu Ufaransa wameripoti kukumbwa na ubaguzi wa rangi

IQNA – Waislamu wawili kati ya watatu nchini Ufaransa wanasema wamekumbwa na tabia za kibaguzi, kwa mujibu wa utafiti mpya unaoangazia ubaguzi mpana katika ajira, makazi, na huduma za umma.
21:00 , 2025 Sep 17
Msomi wa Kiiraqi asisitiza umuhimu wa Umoja wa Kiislamu kama dhamira ya dharura

Msomi wa Kiiraqi asisitiza umuhimu wa Umoja wa Kiislamu kama dhamira ya dharura

IQNA – Mwenyekiti wa Baraza la Wasomi wa Rabat Muhammadi nchini Iraq amesema kuwa umoja wa Kiislamu sasa ni jambo la lazima kutokana na changamoto nzito zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu.
20:48 , 2025 Sep 17
1