IQNA – Katika ujumbe wake kwa viongozi na wafuasi wa Kanisa Katoliki, Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO), Hujjatul-Islam Mohammad Mehdi Imanipour, ametumai mwaka 2026 utakuwa mwaka uliojaa amani, mapenzi na huruma kwa wafuasi wote wa dini za mbinguni.
12:04 , 2025 Dec 25