IQNA

Jinai za Israel

Israel imebomoa au kuharibu Misikiti 1000 ya Gaza mwaka 2024

IQNA-Katika mwaka uliomalizika wa 2024, wanajeshi wa utawala wa Kiziayuni wa Israel walibomoa kikamilifu Misikiti 815 na kuharibu mingine 151 katika Ukanda wa Ghaza. Hayo yameelezwa katika ripoti iliyotolewa na Wizara ya Wakfu na Masuala ya Dini ya Palestina.
Sheikh Qassem: Uwezo wa Hizbullah  Ulilazimisha Israel Kuomba Kusitisha Mapigano
IQNA - Israel ililazimika kuomba kusitisha mapigano kutokana na uwezo wa Hizbullah, amesema katibu mkuu wa harakati hiyo ya muqawama ya Lebanon.
2025 Jan 05 , 23:13
Ayatullah Khamenei asisitiza Kuchunguza Maisha, Mafundisho ya Maimamu Maasumu
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei ameashiria umuhimu wa Imam Jawad (AS), Imam Hadi (AS) na Imam Askari (AS) katika historia ya Uislamu.
2025 Jan 05 , 13:02
Mchambuzi: Shahidi Soleimani alitazama kadhia ya Palestina kama mradi wa Umoja wa Kitaifa na Kiislamu
IQNA – Mchambuzi wa kisiasa wa Palestina amesema Shahidi Jenerali Qassem Soleimani aliona kadhia ya Palestina kama suala kuu la ulimwengu wa Kiislamu, ambalo linapaswa kuungwa mkono kwa njia yoyote ile.
2025 Jan 03 , 22:53
Vikosi vya Israel vilizuia adhana  katika Msikiti wa Ibrahim mara 48 mwezi Desemba
IQNA – Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vilizuia wito wa sala kusikika katika Msikiti wa Ibrahim mara 48 mwezi Desemba, Wizara ya Misaada na Masuala ya Kidini Palestina ilifichua jana.
2025 Jan 03 , 22:34
Hotuba ya Kiongozi wa Ansarullah katika kumbukumbu ya kuuawa Shahidi Qassem Soleimani
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen ametoa heshima kwa kamanda mkuu wa zamani wa kupambana na ugaidi wa Iran, shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, akisema alikuwa na nafasi ya kipekee katika kuwaunga mkono watu wa Palestina na muqawama wao.
2025 Jan 03 , 11:47
Kaaba Tukufu: Kiswa Kitabadilishwa Usiku wa Mkesha wa Muharram
Kifuniko, kinachojulikana kama Kiswa, cha Kaaba Tukufu kinatarajiwa kubadilishwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa maombolezo ya Muharram, mamlaka ya Saudi ilisema.
2024 Jul 06 , 14:32
Operesheni ya  Kimbunga cha al-Aqsa Imechukua  Sura Mpya katika Makabiliano dhidi ya wavamizi wa Israel: Hamas
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Hamas amepongeza operesheni ya hivi karibuni iliyozinduliwa Gaza kama sura mpya katika makabiliano dhidi ya wavamizi wa Israeli.
2023 Oct 09 , 17:57
Ukanda wa Gaza uliokaliwa kwa Mabavu: Zaidi ya Wapalestina 120,000 wameyakimbia makazi yao huku kukiwa na migogoro
GAZA (IQNA) - Zaidi ya wakazi 120,000 wa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wameyakimbia makazi yao kutokana na mzozo unaoendelea kati ya vikosi vya upinzani na jeshi la Israel, Umoja wa Mataifa ulisema.
2023 Oct 09 , 17:36
Erdogan: Kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Uswidi ni dalili ya kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu
ANKARA (IQNA)- Rais wa Uturuki amesema "Shambulizi la chuki dhidi ya kitabu chetu, Qur'ani, huko nchini Uswidi katika siku ya kwanza ya Sikukuu za Iddul Adh'ha, lilianika kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu."
2023 Jul 09 , 15:25
Mahujaji wanaweza kupokea vyeti vya kukamilisha Hija mtandaoni
MAKKA (IQNA) – Cheti cha kifahari cha Hija kinaweza kutolewa kwa njia ya intaneti kwa wale wote walioshiriki katika Ibada ya Hija mwaka huu wa 1444 Hijria Qamaria.
2023 Jul 09 , 15:12
Kutukana matukufu ya kidini ni tishio la msingi wa kuishi pamoja kwa amani
ABUJA (IQNA) - Mwanaharakati wa Kiislamu wa Nigeria amelaani kitendo cha hivi karibuni cha kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini Uswidi (Sweden) na kusisitiza kwamba vitendo hivyo vya kufuru vinatishia msingi wa kuishi pamoja kwa amani katika jamii.
2023 Jul 09 , 14:48
OIC yahimizwa kubuni mkakati kukabiliana na Kukua kwa chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imehimizwa kubuni mikakati ya kukabiliana na chuki inayoongezeka dhidi ya Uislamu duniani kote.
2023 Jul 08 , 15:43