Qiraa bora
TEHRAN (IQNA) – Muhammad Irshad Murabaei ni qari mwenye ulemavu wa macho nchini Algeria ambaye pia ni imamu wa sala nchini humo.
Habari ID: 3476393 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/12
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Morocco imetangaza kuwa itatekeleza sheria ya kutotoka nje usiku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu nchini humo.
Habari ID: 3473797 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/09
TEHRAN (IQNA)- Sala ya Tarawih imepigwa marufuku nchini Oman kwa lengo la kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona huku sheria ya kutotoka nje usiku ikitekelezwa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473785 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/05
TEHRAN (IQNA) – Afisa mmoja wa kidini nchini Saudi Arabia amesema kuna uwezekano mkubwa kuwa Sala ya tarawih haitasaliwa katika misikiti ya nchi hiyo ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona au COVID-19 nchini humo.
Habari ID: 3472655 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/11