iqna

IQNA

hija
Hija katika Uislamu/5
TEHRAN (IQNA) – Lengo kuu katika Hija lazima liwe kutafuta radhi za Mwenyezi Mungu na katika safari hii, kadiri tunavyojiepusha na mapambano, kujifaragua na anasa, ndivyo tutakavyokaribia ukamilifu.
Habari ID: 3477912    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/19

Hija katika Uislamu /4
TEHRAN (IQNA) – Hija ni safari ya upendo, ni safari ya mapenzi ya mwanadamu kwa Mwenyezi Mungu. Hii ndio sababu waja wengi wema wa Mwenyezi Mungu hupendelea kuenda kwa miguu hadi katika mji mtakatifu wa Makka kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija.
Habari ID: 3477844    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/05

TEHRAN (IQNA) – Mwenyezi Mungu amewaalika watu kuhiji na kuwabariki mahujaji fursa ya kuitembelea nyumba yake.
Habari ID: 3477747    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/17

Hija 1444
MAKKA (IQNA) – Cheti cha kifahari cha Hija kinaweza kutolewa kwa njia ya intaneti kwa wale wote walioshiriki katika Ibada ya Hija mwaka huu wa 1444 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3477259    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/09

Mpakistani amekaidi changamoto za kimwili na yuko tayari kuhiji, safari ya kwenda Makka ambayo ni wajibu kwa Waislamu ambao wana uwezo wa kimwili na kifedha kufanya hivyo.
Habari ID: 3477192    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/25

Mahujaji wanaotaka kupiga picha au video kwenye Misikiti Miwili Mitukufu, Msikiti Mkuu wa Makka na Msikiti wa Mtume Muhamad (s.a.w.w) huko mjini Madina, wakati wa Hija lazima wafuate seti mpya ya miongozo iliyotolewa na Wizara ya Hija na Umrah ya Saudi.
Habari ID: 3477176    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/21

Hija mwaka 1444
Maeneo matakatifu nchini Saudi Arabia yanatayarishwa kupokea Waislamu wanaotekeleza ibada ya Hija kutoka kila kona ya dunia.
Habari ID: 3477125    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/09

Ibada ya Hija 1444
Makka,, mji mtakatifu zaidi katika Uislamu, unaendelea kukaribisha Waislamu wanaofika katika mji huo kwa ajili ya ibada ya kila mwaka ya Hija.
Habari ID: 3477111    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/06

Ibada ya Hija 1444
TEHRAN (IQNA) – Hija, ni ibada ya kila mwaka ya dini ya Kiislamu katika mji mtakatifu wa Makka, inakaribia kutufikia, na safari ya kiroho pia inahusisha maandalizi mazuri ya matibabu kwa uzoefu wa kufurahisha.
Habari ID: 3477102    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/05

Hija 1444
TEHRAN (IQNA) – Mazoezi ya usalama wa mtandao wa intaneti kwa ajili ya ibada ya Hija ya mwezi ujao yamefanyika nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3477082    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/02

Hija 1444 H
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetoa taarifa ya miongozo jumla kwa Mahujaji wa mwaka huu wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu kwa lengo la kurahisisha ibada hiyo.
Habari ID: 3477054    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/27

Hija
TEHRAN (IQNA) - Iran itaanza kupeleka mahujaji wa Hijja nchini Saudi Arabia siku ya Jumatano, Mei 24, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3477022    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/20

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika kikao cha maafisa wanaoshughulikia ibada ya Hija kwamba: Hija ni tukio la kimataifa na miadi ya dunia yenye manufaa mengi ya dunia na Akhera.
Habari ID: 3477008    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17

Hija
TEHRAN (IQNA) – Kikao kimefanyika katika mji mtakatifu wa Madina nchini Saudi Arabia ambapo maafisa wametathmini maandalizi ya msimu ujao wa Hija.
Habari ID: 3476988    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) - Mwislamu mwenye asilia ya Bosnia ameamua kutembea kwa miguu Ulaya kuelekea ncini Saudi Arabia wa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3476932    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/29

Tangazo la Hija la Saudi Arabia
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Hijja na Umra Saudi Arabia imesema kuwa tarehe ya mwisho ya Mahujaji kupata chanjo ni siku 10 kabla ya msimu wa Hija.
Habari ID: 3476922    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/27

Waislamu Singapore
TEHRAN (IQNA) – Idadi ya Waislamu kutoka Singapore wanaofanya ibada ya Hija ndogo ya Umrah imeongezeka kwa asilimia 45 ikilinganishwa na enzi ya kabla ya janga la corona.
Habari ID: 3476647    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02

Wanawake Saudia
TEHRAN (IQNA) – Wanawake wameruhusiwa kuendesha treni zinazosafiri kati ya miji mitakatifu ya Makka na Madina nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476350    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03

Hija na Umrah
TEHRAN (IQNA) - Saudi Arabia inatazamiwa kuandaa hafla iliyopewa jina la "Maonyesho ya Hija" mnamo Januari mwaka ujao huko Jeddah.
Habari ID: 3476221    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/09

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Marais wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS) na Mamlaka ya Hilali Nyekundu ya Saudia wamekutana mjini Mina mkoani Makka Jumapili, kujadili ushirikiano wa pande mbili.
Habari ID: 3475487    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/11