TEHRAN (IQNA)- Mchora vibonzo mkaidi wa Sweden, Lars Vilks, ambaye amekuwa akilindwa na kupewa usalama na maafisa wa polisi wa nchi hiyo tokea mwaka 2007 baada ya kuchora vibonzo vya kumdhalilisha na kumvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW), amekufa katika ajali mbaya ya barabarani.
Habari ID: 3474382 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04