iqna

IQNA

MASOUMA
Haram Takatifu ya Hadhrat Masouma (SA) katika mji wa Qum nchini Iran siku hizi ni mwenyeji wa mijimuiko ya maombolezo kwa mnasaba wa kukumbuka kuaga dunia Mtume Muhammad SAW na pia kuuawa shahidi wakujuu wake, yaani Imam Hassan Mujtaba AS na Imam Ridha AS.
Habari ID: 3474388    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/06