Mgogoro wa Sudan
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeitisha kikao cha dharura nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kuzungumzia mgogoro wa Sudan.
Habari ID: 3476957 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04
Vita
TEHRAN (IQNA)- Mapigano kati ya wanajeshi wa Sudan yameingia wiki yake ya tatu ambapo hadi kufikia leo watu zaidi ya 578 wameuawa huku Umoja wa Mataifa ukionya kuwa nchi hiyo inasambaratika.
Habari ID: 3476936 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/30
Matukio ya Sudan
TEHRAN (IQNA)- Mashambulizi ya mara kwa mara yalirindima katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum hata baada ya pande mbili hasimu kutangaza kusitisha mapigano
Habari ID: 3476903 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/22
TEHRAN (IQNA)- Mtu moja ameuawa jana Sudan wakati maelfu ya wananchi walipoandamana katika mji mkuu Khartoum na miji mingine mikubwa nchini humo kupinga utawala wa kijeshi nchini humo.
Habari ID: 3474875 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/31
TEHRAN (IQNA)- Baada ya kupita siku 33 tangu kutokea jarIbio la mapinduzi lililofeli nchini Sudan, mapinduzi mapya ya kijeshi yametokea katika nchi hiyo ya Kiafrika.
Habari ID: 3474475 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/26