iqna

IQNA

fussilat
Sura za Qur'ani Tukufu / 41
TEHRAN (IQNA) – Moja ya imani ambayo Waislamu wanashikilia ni kutoweza kupotoshwa kwa Qur'ani Tukufu. Kwa mujibu wa imani hii, Qur'ani Tukufu sasa ni sawa na ilivyokuwa wakati ilipoteremshwa kwa Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) na hakuna neno lililoongezwa au kutolewa ndani yake
Habari ID: 3476113    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/19