iqna

IQNA

mufti
Tehran-IQNA- Waislamu nchini Uganda Jumamosi iliyopita waliadhimisha Maulid (kumbukumbu ya kuzaliwa ) Bwana Mtume Muhammad SAW huku wakitoa wito wa amani na umoja katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki inayokumbwa na migawanyiko miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 2677812    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/06

Mufti Mkuu wa Misri
Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa vitendo vinavyofanywa na kundi la Daesh vinapingana na thamani za kibinadamu na Kiislamu na kwamba kundi hilo ni genge la kigaidi ambalo haliwezi kutambuliwa kuwa ni dola la Kiislamu.
Habari ID: 1439297    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/14

Wakati ulimwengu mzima ukionesha kusikitishwa na mauaji ya kinyama yanayofanywa na jeshi la Israel dhidi ya Wapalestina, maulama wa Saudia wameendelea kutoa fatuwa za kuwakandamiza Wapalestina.
Habari ID: 1435174    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/03