iqna

IQNA

jeddah
Maonyesho mapya yenye jina la Safari Kupitia Maeneo Matukufu yamefunguliwa huko mjini Jeddah, Saudi Arabia. Maonyesho hayo yanaonyesha mkusanyo wa vipande vya kihistoria na vya kisanii vinavyohusiana na Hija, hija ya kila mwaka ya Waislamu kwenda Makka.
Habari ID: 3477139    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/13

TEHRAN (IQNA) - Warsha ilifanyika hivi karibuni huko Jeddah, Saudia kuhusu uwekaji wa huduma za kidigitali katika mashirika ya ustawishaji uwekezaji katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC).
Habari ID: 3476321    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/28

Hija na Umrah
TEHRAN (IQNA) - Saudi Arabia inatazamiwa kuandaa hafla iliyopewa jina la "Maonyesho ya Hija" mnamo Januari mwaka ujao huko Jeddah.
Habari ID: 3476221    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/09

Ufaransa yaonaya raia wake baada ya hujuma dhidi ya makaburi Jeddah, Saudia
Habari ID: 3473352    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/12

Msikiti wa Ar-Rahma, ambao pia unajulikana kama Msikiti wa Fatima Zahra (SA) ulijengwa mwaka 1985 katika mji wa Jeddah, Saudi Arabia.
Habari ID: 3473209    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/28

TEHRAN (IQNA)-Mzee mwenye umri wa miaka 65 mjini Jeddah, Saudi Arabia, amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamlifu kwa muda wa miezi 10.
Habari ID: 3471246    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/03

Abdullah Abdul Quddus ambaye amehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu ametajwa kuwa hafidh mwenye umri wa chini zaidi mjini Jeddah, Saudi Arabia.
Habari ID: 3457024    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/25