iqna

IQNA

kuhani
Watetezi wa Palestina
IQNA – Rabi au Kuhani wa Kiyahudi mwenye makazi yake nchini Marekani anasema utawala haramu wa wa Israel unatumia vibaya dini ya Kiyahudi ili kuendeleza ukatili na uvamizi wake katika ardhi za Wapalestina.
Habari ID: 3478024    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/12

Kadhia ya Palestina
LONDON (IQNA) - Wazayuni hawawakilishi Uyahudi na wanataka "kuwaangamiza" watu wa Palestina, kuhani mwenye makao yake nchini Uingereza anasema huku kukiwa na mashambulizi ya Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza yakiwa yamesababisha vifo vya zaidi ya Wapalestina 7,000 wengi wakiwa ni wanawake, watoto na wazee.
Habari ID: 3477793    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/27

Viongozi waandamizi wa utawala ghasibu wa Kizayuni wa Israel wamezidi kuonesha ukatili wao baada ya kushindwa kukabiliana na Intifadha ya Quds
Habari ID: 3470237    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/09