iqna

IQNA

apple
TEHRAN (IQNA)- Shirika la Kimarekani la Apple ya limeondoa aplikesheni ya Quran Majeed katika simu zake zinazouzwa nchini China jambo ambalo limeibua maswali mengi juu ya malengo na sababu kitendo hicho.
Habari ID: 3474435    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/17