iqna

IQNA

AKBARI
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)-Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran ameeleza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umepoteza uwezo wake na kusema: Nguvu ya kujihami ya kambi ya muqawama inapasa kuimarishwa, na muqawama wa Palestina unapaswa kuendeleza njia hiyo kwa nguvu na fahari.
Habari ID: 3476990    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/12

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amekosoa mienendo ya nchi za Magharibi kuhusiana na tetemeko la ardhi nchini Syria.
Habari ID: 3476573    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehrah amekosoa vikali mienendo ghalati ya Marekani katika medani ya kimataifa na kusisitiza kuwa, US ni nembo ya ujahili mamboleo.
Habari ID: 3475003    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04

TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, adui anaihitajia zaidi Iran katika mazungumzo yanayoendelea mjini Vienna Austria na kusisitiza kuwa, inabidi tusimame imara na kwa ghera katika vita vya kidiplomasia.
Habari ID: 3474806    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/14

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa msingi wa mazungumzo ya nyuklia JCPOA yanayofanyika mjini Vienna ni kuondolewa kwa mpigo vikwazo ilivyowekewa Iran.
Habari ID: 3474687    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/17

TEHRAN (IQNA)- Baada ya kusitishwa kwa muda wa takribani miezi ishirini jijini Tehran na katika miji na maeneo mengine ya Iran kutokana na maambukizi ya virusi vya corona, Swala ya Ijumaa imefanyika leo mjini Tehran ikishirikisha matabaka mbalimbali ya wananchi.
Habari ID: 3474458    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23