TEHRAN (IQNA)- Fainali ya Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya mabarobaro imemalizija Jumatatu wiki hii nchini Zambia.
Habari ID: 3475207 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/05
TEHRAN (IQNA) – Wasimamizi wa Bunge la Zambia wamemtimua mbunge mmoja Muislamu kwa sababu alikuwa amevaa vazi la kanzu ambalo hunasibishwa na Waislamu.
Habari ID: 3474690 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/18
TEHRAN (IQNA)- Msikiti mpya umefunguliwa hivi karibuni katika mji mkuu wa Zambia, Lusaka kwa lengo la kuwahudumia Waislamu na pia kuelimisha watu wa nchi hiyo kwa ujumla kuhusu Uislamu.
Habari ID: 3474525 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/06