Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mappambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas ilikaribisha kupitishwa kwa azimio la Umoja wa Mataifa linalotambua mamlaka ya Palestina juu ya maliasili katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3476256 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16