iqna

IQNA

mateka
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya mateka wa Kipalestina katika magereza ya utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuanza harakati ya Intifadha au mwamako wa wafungwa wa Kipalestina na kutoa wito wa kuungwa mkono harakati hiyo.
Habari ID: 3474986    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/28

TEHRAN (IQNA)- Harakati za kupigania ukombozi wa Wapalestina za Hamas na Jihad Islami zimetoa tahadhari kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuwatesa mateka Wapalestina wanaoshikiliwa na utawala huo dhalimu.
Habari ID: 3474509    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umewakamata Wapalestina zaidi ya 1,280 katika kipindi cha miezi mitati iliyopita.
Habari ID: 3474471    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/25

TEHRAN (IQNA)- Kadhia ya wafungwa Wapalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel ni kipaumbele kwa watu wa Palestina.
Habari ID: 3473830    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/19

TEHRAN (IQNA) - Utawala dhalimu wa Israel hatimaye umelazimika kumuachilia huru Maher al Akhras mateka wa Kipalestina ambaye alikabiliana pakubwa na utawala huo.
Habari ID: 3473395    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/26

TEHRAN (IQNA) - Operesheni ya kubadilisha mateka wa vita baina ya harakati ya Ansarullah ya Yemen na muungano vamizi wa Saudi Arabia imeanza kutekelezwa leo Alkhamisi kwa kuachiwa huru mamia ya mateka wa pande hizo mbili.
Habari ID: 3473261    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/15

Kufuatia janga la corona
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetoa wito kwa taasisi za za kisheria Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu kuchukua hatua za dharura za kuwaokoa mateka Wapalestina wanaoshikiliwa katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472675    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/17

Waziri mmoja katika utawala wa Kizayuni wa Israel ametaka viongozi wa ngazi za juu wa Hamas watekwe nyara.
Habari ID: 3470439    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/08