iqna

IQNA

shirazi
TEHRAN (IQNA)- Huku Iran ikiadhimisha wiki ya malenga mashuhuri wa Kifarsi Hafidh (Hafez au Hafiz), maonesho ya vitabu chini ya anuani ya ‘Hafez na Qur’ani’ yammefanyika katika kaburi lake ambalo ni maarufu kama Hafezieh mjini Shiraz kusini mwa Iran.
Habari ID: 3474405    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/10

TEHRAN (IQNA)-Leo tarehe 20 mwezi wa Mehri kwa mujibu wa kalenda ya Kiirani, inasadifiana na maadhimisho ya Khaja Shamsuddin Muhammad Hafiz Shirazi, mshairi na malenga mkubwa wa Kiirani.
Habari ID: 3473251    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/11

IQNA: Msikiti wa Kizimkazi ni kati ya misikiti mikongwe zaidi Afrika Mashariki na uko visiwani Zanzibar na ulijengwa na Wairani mwaka 500 Hijria Qamaria sawa na mwaka 1107 Miladia.
Habari ID: 3470725    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/08

Shekhe Mkuu wa Al Azhar Sheikh Ahmed el-Tayeb amesisitiza kuhusu umuhimu wa kudumisha umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3351450    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/25

Ayatullahil Udhma Nasser Makarem Shirazi mmoja wa maulama na wanazuoni wakubwa nchini Iran amekosoa vikali siasa za kindumakuwili za baadhi ya madola ya Mashariki ya Kati kuhusiana na matukio ya eneo hili likiwemo suala la kundi la kigaidi la Daesh.
Habari ID: 2614519    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/02

Taasisi ya Imam Hussein AS katika eneo la Bugiri Mashariki mwa Uganda ni moja ya vituo muhimu zaidi vya kuhubiri Uislamu na maarifa ya Ahul Bayt AS katika eneo hilo.
Habari ID: 1432798    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/23