iqna

IQNA

trudeau
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Cambridge nchini Kanada kimeungwa mkono na jamii na viongozi wa kisiasa baada ya kupatikana kwa maandishi yenye motisha ya chuki kwenye kuta za jengo lake siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3478362    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/16

Waislamu Kanada
OTTAWA (IQNA) – Shirika moja la Kiislamu nchini Kanada (Canada) limelaani matamshi ya "uchochezi" na "mgawanyiko" yaliyotolewa na wanasiasa wa Kanada, ikiwa ni pamoja na Waziri Mkuu Justin Trudeau, dhidi ya matakwa ya haki ya watu wanaopinga mtaala wa itikadi ya kijinsia shuleni ambao lengo lake na kupotosha watoto kimaadili na kifamilia.
Habari ID: 3477655    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amempongeza mwenzake wa Canada kutokana na hatua yake ya kulaani chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia huku akitaka kuwepo jitihada maalumu za kukabiliana na tatizo hilo.
Habari ID: 3474868    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/30

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau Jumanne amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri na kumteua Mwislamu wa tatu katika baraza hilo.
Habari ID: 3473554    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/13

TEHRAN (IQNA) – Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau amesema chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) pamoja na misimamo mikali ya mrengo ya kulia ni itikadi ambazo hazina nafasi yoyote katika jamii ya Canada.
Habari ID: 3473260    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/14