TEHRAN (IQNA) – Balozi wa Misri nchini Mauritius amewatunuku wakuu wa jumuiya mbali mbali za Kiislamu Mauritius nakala za Qur’ani ambazo zina tarjama ya lugha mbali mbali.
Habari ID: 3473264 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/16
Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani yamefanyika hivi karibuni nchini Mauritius.
Habari ID: 3470298 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/07